SABABU KUU SITA ZINAZOWEZA KUMFANYA MWANAUME AU MWANAMKE KUINGIA KWENYE MAHUSIANO YA KIMAPENZI
Zipo sababu zinazoweza kumfanya mwanamke au mwanaume kujikuta ana tamaa au hamu ya kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi!
1.KUBAREHE
Hii ni sababu kuu ambayo watu wengiwameingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na sababu ni kubarehe,kwanza nieleze kubarehe kubarehe ni hatua katika hukuaji wa mwanadamu pale ambapo anapevuka na kujiona au kuwa mtu mzima hatua hii kisayansi inaaminika kuwa,mwanau,e anapo barehe hupenda kuwa na mahamuzi yake binafsi na hapendi kuendeshwa kama mtoto tena.Na kwa mwanamke wanasayansi husema anaanza kujiona mtu mzima na akili pamoja na mahumbile yake yanabadilika mwanamke akifika stage ataanza kuwa msafi mwenye kujipenda na kama alikuwa anamichezo ya kijinga huwa anaacha.
2.MSUKUMO WA KIMAKUNDI
Hakuna kitu kinacho mwathiri mtu kisaikolojia kama msukumo wa kimakundi maana unamfanya mtu kuwa wa aina fulani baada ya kuwaona wakinafulan wako wanishi maisha fulani,msukumo wa kimakundi unaweza hukamuthiri mtu kuingia katika vitu flan hata bila kupenda
hivi ndivyo mtu anaweza kujikuta ameeingia kwenye mahusiano kwasababu tu kundi la watu anao ongea nao wapo kwenye mahusiano nayeye anapo onekana hayupo anajiisi kama amekosa
3.HOFU YA KUTOOLEWA(kwa jinsia ya kike)
Wanawake wengi wameamua kuanzisha au kuingia kwenye mahusiano kwa hofu kama hatabaki bila mtu anaweza asiolewe.kama tuna vyojua heshima ya mtoto wa kike ni ndoa so wanawake wamejikuta kutokataa mwanaume kwa imani ya kwamba huenda huyo mwanaume akamuoa na mda mwingine mwanamke anafikia kutongoza mwanaume akiwa na hofu hiyohiy.sababu hii mwanamke anaweza akwa amependa au hatakama ajampenda huyo mtu.4.TAMAA
Tamaa ni moja sasbabu kubwa inayoweza kumfanya mwanaume au mwanamke kuingia kwenye mahusiano ya kimapezi yaweza ikawa tamaa ya kimwili kumtamani mtu kwa kumtaka kimwili, yaweza ikawa tamaa ya mali kutaka mali kwa njia fupi,inaweza ikawa tamaa ya kutaka mtoto mapema.n.k Sababu nimewafaya watu wengi kuingia katika mahusiano ya kimapenzi kisa na sababu ni kutamani tu na sio kwahiari yao bali kwa kuongozwa na tamaa.