welcome to s-media online service

  • Delicious
  • Facebook
  • Twitter

LATEST BONGO MOVIES

ALICE and JANEL staring Hemed!
NDOA YANGU Staring kanumba
FOUR ANGLE staring King majuto

ADVERTISEMENT


Popular Posts

PICHA ZA HABARI MPYA

BEST TZ ARTIST

ADVERTISEMENT

RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKANISA YALIYOHARIBIWA KATIKA VURUGU ZA WAISLAMU MBAGALA, ATOA POLE KWA WAUMINI, AWAHAKIKISHIA MKONO WA SHERIA KUWANASA WOTE WALIOHUSIKA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia uharibifu mkubwa uliofanywa katika kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu.

HABARI ZA KIMATAIFA - Rais wa Mauritania apigwa risasia

Rais wa Mauritania, Mohamed Ould Abdel Aziz, anapelekwa Ufaransa kwa matibabu zaidi baada ya kujeruhiwa alipopigwa risasi... ...

MICHEZO - Masikitiko kwa Uganda

Zambia, wakiwa ugenini Kampala, waliweza kuwafunga wenyeji wao Uganda magoli 9-8 kupitia mikwaju ya penalti, na kujiweka katika nafasi nzuri ya kuutetea ubingwa wao, katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2013, kufanyika nchini Afrika Kusini, mwezi Januari. Mikwaju 20 ya penalti ilihitajika kubainisha ni nani mshindi na aliyeshindwa, kufuatia Uganda kutangulia bao 1-0 katika mechi ya mjini Kampala. . ....

BURUDANI - Jela yamwita Justin Bieber

MWIMBAJI kinda, Justin Bieber, huenda akafungwa miezi sita jela iwapo atapatikana na hatia ya kumpiga Paparazi aliyetaka kumpiga picha huko Los Angeles. ...

MOVIE AND FILM - NDOA YANGU YA KANUMBA IPO MADUKANI SASA

Movie ambayo watanzaniaa wengi waliisublia kwa hamusasa yatoka ...

Monday, June 17, 2013

AJE TZ

MZUX

No comments:

Post a Comment