IZZO B -MWAKA JANAme2utz.mp3
PNC_-_AIYOLELAme2utz.mp3
peter_MSECHU_FT_BELLA_-_UNANIUMIZA__me2utz.mp3
Steven_Kanumba_-_NITAINUA_MACHO_YANGUme2utz.mp3
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia uharibifu mkubwa uliofanywa katika kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu.
Rais wa Mauritania, Mohamed Ould Abdel Aziz, anapelekwa Ufaransa kwa matibabu zaidi baada ya kujeruhiwa alipopigwa risasi... ...
Zambia, wakiwa ugenini Kampala, waliweza kuwafunga wenyeji wao Uganda magoli 9-8 kupitia mikwaju ya penalti, na kujiweka katika nafasi nzuri ya kuutetea ubingwa wao, katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2013, kufanyika nchini Afrika Kusini, mwezi Januari. Mikwaju 20 ya penalti ilihitajika kubainisha ni nani mshindi na aliyeshindwa, kufuatia Uganda kutangulia bao 1-0 katika mechi ya mjini Kampala. . ....