welcome to s-media online service

  • Delicious
  • Facebook
  • Twitter

LATEST BONGO MOVIES

ALICE and JANEL staring Hemed!
NDOA YANGU Staring kanumba
FOUR ANGLE staring King majuto

ADVERTISEMENT


Popular Posts

PICHA ZA HABARI MPYA

BEST TZ ARTIST

ADVERTISEMENT

RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKANISA YALIYOHARIBIWA KATIKA VURUGU ZA WAISLAMU MBAGALA, ATOA POLE KWA WAUMINI, AWAHAKIKISHIA MKONO WA SHERIA KUWANASA WOTE WALIOHUSIKA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia uharibifu mkubwa uliofanywa katika kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu.

HABARI ZA KIMATAIFA - Rais wa Mauritania apigwa risasia

Rais wa Mauritania, Mohamed Ould Abdel Aziz, anapelekwa Ufaransa kwa matibabu zaidi baada ya kujeruhiwa alipopigwa risasi... ...

MICHEZO - Masikitiko kwa Uganda

Zambia, wakiwa ugenini Kampala, waliweza kuwafunga wenyeji wao Uganda magoli 9-8 kupitia mikwaju ya penalti, na kujiweka katika nafasi nzuri ya kuutetea ubingwa wao, katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2013, kufanyika nchini Afrika Kusini, mwezi Januari. Mikwaju 20 ya penalti ilihitajika kubainisha ni nani mshindi na aliyeshindwa, kufuatia Uganda kutangulia bao 1-0 katika mechi ya mjini Kampala. . ....

BURUDANI - Jela yamwita Justin Bieber

MWIMBAJI kinda, Justin Bieber, huenda akafungwa miezi sita jela iwapo atapatikana na hatia ya kumpiga Paparazi aliyetaka kumpiga picha huko Los Angeles. ...

MOVIE AND FILM - NDOA YANGU YA KANUMBA IPO MADUKANI SASA

Movie ambayo watanzaniaa wengi waliisublia kwa hamusasa yatoka ...

Elimu darasa

VIFAHAMU VIFAA VIKUU KWENYE KOMPUTER YAKO AMBAVYO NI MUHIMU KUJUA KAZI YAKE






Computer inavifaa vingi muhimu ambavyovinasaidia utendaji kazi wa komputer.Lakini kuna vifaa ambavyo vina umuhimu au ni vikuu na ndivyo vinachangia asilimia80 ya komputer kufanya kazi vifaa hivyo ni kama:-

1.PROCESSOR(CPU)

huundio ubongo wa kompyuta pia ndio kama moyo wa kompyuta kamwe kompyuta aiwezi kufanyakazi bila kifaa hiki na pia ndicho kifaa kinacho tofautisha ukubwa wa kompyuta.na ufanyaji kazi wa kompyuta.kwa jina lingine hii ndio CPU yaani Central Processing Unit maana kila kinacho fanyika kwenye kompyuta lazima kitambuliwe kwenye processor kwanza.
angalia mwonekano wake

Processor inatengenezwa na makampuni makubwa mawili duniani moja ni INTEL na AMD.Pia processo zipo katika mwonekano miwili kuna za SLOT na SOCKET.

Pia katika technology zimegawanyika sehemu kuu mbili ambapo kuna processor za  CISC na zile za RISC .Tofauti ni kwamba processor za za cisc ndo hizi za kawaida tunazo tumai kwa matumizi ya kawaida na za Risc ni proccessor zenye huelewa mkubwa wa kufanya kazi na hutumika sana kwenye editings kubwa na ku create magame ya haili ya juu hizi zinaweza kuongeza mambo na kuwa yasio ya kawaida.
Kifaa hiki kimapatika na ndani ya kompyuta yaani ndani SU.system unit
 Procesor zipo katika ukubwa mbalimbali kama 250 MHTZ,500MHTZ,1 GBHTZ,2GBHTZ,3GBHTZ n.k Tuanaandika hertz (htz) ni kizio cha frequency kwa mba unit za processor temmbea katika frequency.


2.RAM

hi ni memory inayotunza mabo yanapotaka kufanyiwa processing au baada ya kufanyiwa processing wakati kompyuta ikiwa inafanya kazi hukubwa wa ram unashilikiana na processor kuongeza spid ya kompyuta .angalia picha hizo

Kifaahiki long term yake ni RandomAccessMemory.pia ukubwa wake una pimwa kwa  bytes yaani kuna zile za 64mb,128MB.256MB,1GB.2GB,128GB.Kifaa iki kimegawnyika katika makundi mengi kama SIMM,DIMM pia na ,RIMM .pia kiko katika mifumo tofauti kama DDR1,DDR2,DDR3(maana ya ddr ni double data rate)haiwezi kutunza kumbukumbu kompyuta ikiisha zima ni ONLINE STORAGE au VIOTILE STORAGE


3.HARD DISK AU HARD DRIVE(HDD)

Hii ndiyo memory ya kompyuta na utunza data na information zote za komputer Ukubwa hii hard disk  utakusaidia kuifadhi vitu vingi zaidi kwenye kompyuta yako hii utunza vitu hata kama kompyuta imezimwa yaani ni Ofline storage angalia picha
Pia nayo inapatika na katika ukubwa  mbalimbali 10gb,20GB,400GB,500 N.K